Na, WAF-Iringa. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amewataka wauguzi kote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na uzalendo, huku akisisitiza umuhimu wa kulind... Soma Zaidi

Na, WAF-Iringa. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amewataka wauguzi kote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na uzalendo, huku akisisitiza umuhimu wa kulind... Soma Zaidi
Na WAF, Tanga Mkuu wa mkoa wa Tanga Mhe. Dkt. Batilda Salha Burian amesema zaidi ya wananchi 12,000 wamenufaika kwa kupatiwa huduma za kibingwa na madaktari bingwa wa Rais Samia ... Soma Zaidi
Na WAF – Kilimanjaro Madaktari bingwa wa Rais Samia wanaoanza kutoa huduma za ubingwa na ubingwa bobezi mkoani Kilimanjaro wameaswa kutoa huduma hizo kwa weledi katika vituo wali... Soma Zaidi
Na WAF, Zanzibar Wizara za Afya Tanzania Bara na Zanzibar zimeingia rasmi kwenye makubaliano ya ushirikiano ya kuwezesha utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi wa Serikali ya Jamhur... Soma Zaidi
Na WAF - Songea, Ruvuma Wananchi wa mkoa wa Ruvuma na M Mikoa ya jirani ya Njombe, Lindi na Mtwara, wametakiwa kutumia Hospitali ya Peramiho ili kupata huduma mbalimbali za afya kwaku... Soma Zaidi
Na WAF - TABORA Mratibu wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kitete, Dkt. Patrick Bilikundi, amesema kumekuwa na muitikio mkubwa wa wananchi katika kambi ya Mad... Soma Zaidi
Na WAF - SINGIDA Kambi ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia Kanda ya Kati imewafikia wananchi 3,242 na kuwapatia huduma katika maeneo mbalimbali ya kibingwa Hayo yamebainisha na Ripot... Soma Zaidi
Na WAF, Kagera Wananchi wapatao 3,077 wamejitokeza mkoani Kagera na kumenufaika na matibabu ya Kibingwa yaliyotolewa na Madaktari Bingwa wa Rais Dkt. Samia iliyofikia tamati leo Mei 09,... Soma Zaidi
Kambi ya Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Nyanda za Juu Kusini iliyodumu kwa siku tano, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, imehitimishwa leo Mei 9, 2025... Soma Zaidi
Mawaziri wa Afya kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana jijini Arusha katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Afya na kuridhia rasm... Soma Zaidi